LIBE: ITAZAME MECHI YA KMC VS SIMBA LIVE HAPA
Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo ambapo klabu ya Simba itakuwa uwanjani 'kutafuna kiporo' ukiwa ni mchezo dhidi ya KMC.
Mtanange huo untarajiwa kupigwa saa 1 usiku katika uwanja wa KMC Complex.
Baada ya kuondoshwa kwenye michuano ya ligi ya mabingwa, matumaini pekee ya Simba yamebaki kwenye ligi kuu na kombe la Shirikisho la CRDB.
Hivyo mchezo dhidi ya KMC leo una umuhimu mkubwa pengine kuliko hata mchezo utakaofuata siku ya Jumamosi dhidi ya Stade Malien kukamilisha ratiba ya michuano ya ligi ya mabingwa (CAFCL).
Kuelekea mchezo huo, mkufunzi wa Simba Steve Barker ameweka wazi kuwa vijana wake watashuka uwanjani wakiwa na lengo moja tu, kuvuna alama tatu muhimu.
Usikose kutazama mechi zote zA Caf, mechi zote za ulaya, ligi kuu Tanzania bara na nyingine nyingi LIVE kupitia Simu yako
download App hii mapema itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPAAAA AU HAPAAAA au HAPAA kumbuka app bado hayujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK hivo ikileta neno harmful usiogope ni kwasababu bado hatujaiweka playstore

Comments
Post a Comment