LIVE : ITAZAME MECHI YA JKT TANZANIA 🆚 YANGA LIVE HAPA
Mabingwa watetezi na vinara wa ligi kuu ya NBC, Yanga leo wako uwanjani Meja Jenerali Isamuhyo kumenyana na JKT Tanzania katika mechi ya raundi ya 18
Mechi nyingine muhimu kwa Yanga kuzisaka alama tatu ili kuendelea kujichimbia kileleni mwa msimamo wa ligi
Itakuwa mechi rasmi ya kwanza kwa kocha Miloud Hamdi ambaye alijiunga na Yanga Jumatano iliyopita akichukua mikoba iliyoachwa na Sead Ramovic aliyetimkia Algeria
Leo Yanga itakuwa inasaka ushindi wa kwanza katika uwanja wa Isamuhyo.Wananchi wana kumbukumbu ya kulazimishwa suluhu ya bila kufungana katika uwanja huo msimu uliopita
Hata hivyo dimba la Isamuhyo kwa sasa ni bora na linaruhusu mpira kutembea tofauti na msimu uliopita ambapo mechi iliahirishwa baada ya mvua kubwa kunyesha na kupigwa siku iliyofuata katika uwanja uliokuwa umejaa tope
Hamdi ameahidi kuendeleza pale alipoishia Ramovic huku akiweka wazi chini yake Yanga itakuwa ikishambulia zaidi ili kufunga mabao mengi
Kudownload Bonyeza hapa ili kudownload App
Au
Au hapa chini
AU BONYEZA HAPA PIA KUDOWNLOAD
Au hapa chini pia
App bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK kisha uta Install kawaida tu na uendelee kufurahia chanel za Azam na Dstv bureee ( ikileta neno its harmful usiogope ni kwasababu haijawekwa playstore)
- Wezesha “Unknown Sources” kwenye setting ya Simu yako. Nenda kwenye “Settings” > “Security” au “Privacy“.



Comments
Post a Comment